Posted by : Unknown Monday 15 September 2014



Habari nzuri kwa wadau wa burudani ni kwamba Mkubwa na wanawe Wanamtambulisha msanii kutoka katika kituo chao  cha MKUBWA NA WANAWE na huyu msanii anakwenda kwa jina la Amir na huu hapa ni wimbo wake ambao unakwenda kwa jina la  NIKUPETI PETI Sikiliza na Download ngoma hiyo hapa na mpe support kijana huu kwa kila hali.
Salute pia kwa Team Mkubwa na Wanawe kwa kuendelea kuzalisha vipaji vyenye uwezo mkubwa wa kuandika mashairi na kutumia vizuri sauti zao na kutupa Burudani. Kumbuka Mkubwa na wanawe pia ndiyo imewaletea Yamoto band Wanaofanya poa kupitia ngoma yao kama Yamoto, Nibemende na Wimbo wao mpya unaokwenda kwa jina NISEME NISISEME

Welcome to My Blog

Popular Post

Blogger templates

About views Blogger

Mrembo wetu wa leo

KONA YA KIJANJA YA KUJIDA VIA SNAPS

Powered by Blogger.

MY HOT BROGGER TZ

Like My Facebook Page

FOLLOW ME ON TWITTER

Contact Form

Name

Email *

Message *

- Copyright © TIMOKUCHAZ -Robotic Notes- Powered by Blogger - Designed by Johanes Djogan -