Showing posts with label HOME. Show all posts

Miezi kadhaa baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kupiga marufuku biashara ya Shisha kwenye sehemu za starehe, ulipita muda na agizo hilo likaonekana kutekelezwa japokuwa haikuchukua muda sana biashara hiyo ikarejea tena.
November 16, 2016 wakati wa uzinduzi wa mitambo ya ufuaji umeme jijini Dar es salaam, Paul Makonda alizungumzia biashara hiyo kurejea kinyemela ikiwa ni pamoja na baadhi ya wafanyabiashara kumfata na kutaka kumuhonga shilingi milioni tano ili wapewe kibali cha kuendelea na biashara hyo.
Makonda amesema kurejea kwa biashara hiyo kunampa mashaka kwamba huenda baadhi ya askari wa jeshi la polisi wamepokea hizo pesa ndiomana wanashindwa kuzuia uuzwaji wa shisha.
Kauli ya  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda imefanya Jeshi la Polisi kupitia kwa Kamanda Simon Sirro kutolea majibu kuhusu biashara ya Shisha inayofanyika pamoja na kupigwa marufuku.
“Watu wengi wameshakamatwa pale Oysterbay na majalada yanaandaliwa na mengine yameshapelekwa kwa mawakili wa serikali. Sisi tunaendelea na oparesheni kama kawaida ya kukamata wauzaji, watengenezaji na wavutaji wa shisha” – Kamanda Sirro
Unaweza kutazama video hii kupata majibu ya jeshi la polisi.

NUKUU ZA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI-04

Thursday 8 September 2016
Posted by Unknown
Tag : ,



counter




























Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa John Pombe Magufuli, ni kiongozi ambaye watanzania tulikuwa tunamsubiri kwa muda mrefu.Mara nyingi anapohutubia huwa anatoa kauli za kufurahisha kwa wapenda maendeleo na kuchukiza wasiopenda maendeleo.
Mtandao huu unakuletea Nukuu za Rais, ambazo zinafurahisha wengi na kuchukiza wachache.





NUKUU 

"Nataka niwaeleze ndugu zangu, serikali hii ya awamu ya tano ipo pamoja nanyinyi, haitowatupa wala haitowabagua, haitowabagua kwa dini zenu haitowabagua kwa makabila yenu na kamwe haitowabagua kwa sababu ya vyama vyenu." 

MAANA YAKE 

Serikali ipo kwa ajili ya kutenda haki kwa raia wote bila kujali dini, kabila au vyama.

Maneno hayo alisema Magomeni, alipowatembelea wakazi waliokuwa wakiishi magomeni kota. Jumanne,06 Septemba, 2016.  

MUANDAAJI. NASSIR BAKARI
OFISI NDOGO ZA CCM
LUMUMBA 
EMAIL: nassiribakari@gmail.com 


tazama video chini  >>>>>>>>>>>>>>



Thanks Watu wangu wa Nguvu Najua bila Nyinyi nisinge Fika hapa. Mwanzo nilianza kama utani ila leo hii Naoana Mnanipa Moyo Leo Hii naomaba niwatambulishe Blogger Yangu Kuchaz.blogspot.com  

Naweza nikasema  1).Hii yote Nimeifanya kwa Msaada Wa kaka Angu Mpendwa Alico Shimwela Naweza kusema Bila yeye Nisingeweza Chochote Sina la Kusema Zaidi Ya asante Kaka Big Up Mungu Akupe Moyo Huo Huo Pia Akuppe Maisha Marefu 

2).Mdogo  Angu   Haji Mabovu  Aise Saruuuut Sana Mkuu Pale Nilipokuomba kitu Hukushindwa kunisaidia Mungu Akubariki Na akupe Akili za Ziada za kubuni na Kufanya Mambo makubwa Kuliko hayo unayoyafanya Asante  

3) Na Mwisho Ni wewe Ambae Ulipofungua na kusomasoma Yaliyomo Hukuchoka ukazidi Kunifatilia siku hadi Siku Hadi leo hii Blog Imefunguliwa na watu 1,00,00 Na sema Asanteni Nyote 

Mzidi Kuwa na Moyo 
 Huo Huo Zaidi Niseme Kitu Kama unaona Kuna sehemu nimekosea Please Usiache Kuniambia My No +255713624383 au +255753751970






Hawa ndio viduku eeeeeeh bwana eeeeh walitisha sana


Mzee Kione mwenyewe akipanda jukwaani kutaja mambo ambayo ccm imeyafanya katika eneo lake







 




ccm sio ya wazee tu hadi vijana wamo unamjuaaaa hapana chezea CCM


 
 Nicki Minaj is beginning to tone down her usual outlandish/eccentric style. First was the demure dress she wore to the MTV Movie Awards last week, then she's pictured again looking quite simple and conservative in a floor-length knitted cream Alexander McQueen dress at the premiere of The Other Woman in LA on Monday April 21st. Nicki Minaj starred in the movie. Kinda prefer her this way. Still sexy!

Ajari mbaya yatokea UBUNGO ni Baada ya Roli kuyavaa mabasi likiwemo UDA abilia watatu wafa hapo hapo

Nyingine tena Kutoka Snaps Editing Desing

Tuesday 26 November 2013
Posted by Unknown
Tag :
Kama unahitaji Picha Qurty zenye kiwango cha juu Editing............
GraphiXdesign unaweza ukatutafuta kwa namba:- +255713624383 Hata kama una harusi sisi tuko Vizuri
Welcome to My Blog

Popular Post

Blogger templates

About views Blogger

Mrembo wetu wa leo

KONA YA KIJANJA YA KUJIDA VIA SNAPS

Powered by Blogger.

MY HOT BROGGER TZ

Like My Facebook Page

FOLLOW ME ON TWITTER

Contact Form

Name

Email *

Message *

- Copyright © TIMOKUCHAZ -Robotic Notes- Powered by Blogger - Designed by Johanes Djogan -