Posted by : Unknown Monday 15 September 2014



Thanks Watu wangu wa Nguvu Najua bila Nyinyi nisinge Fika hapa. Mwanzo nilianza kama utani ila leo hii Naoana Mnanipa Moyo Leo Hii naomaba niwatambulishe Blogger Yangu Kuchaz.blogspot.com  

Naweza nikasema  1).Hii yote Nimeifanya kwa Msaada Wa kaka Angu Mpendwa Alico Shimwela Naweza kusema Bila yeye Nisingeweza Chochote Sina la Kusema Zaidi Ya asante Kaka Big Up Mungu Akupe Moyo Huo Huo Pia Akuppe Maisha Marefu 

2).Mdogo  Angu   Haji Mabovu  Aise Saruuuut Sana Mkuu Pale Nilipokuomba kitu Hukushindwa kunisaidia Mungu Akubariki Na akupe Akili za Ziada za kubuni na Kufanya Mambo makubwa Kuliko hayo unayoyafanya Asante  

3) Na Mwisho Ni wewe Ambae Ulipofungua na kusomasoma Yaliyomo Hukuchoka ukazidi Kunifatilia siku hadi Siku Hadi leo hii Blog Imefunguliwa na watu 1,00,00 Na sema Asanteni Nyote 

Mzidi Kuwa na Moyo 
 Huo Huo Zaidi Niseme Kitu Kama unaona Kuna sehemu nimekosea Please Usiache Kuniambia My No +255713624383 au +255753751970

Welcome to My Blog

Popular Post

Blogger templates

About views Blogger

Mrembo wetu wa leo

KONA YA KIJANJA YA KUJIDA VIA SNAPS

Powered by Blogger.

MY HOT BROGGER TZ

Like My Facebook Page

FOLLOW ME ON TWITTER

Contact Form

Name

Email *

Message *

- Copyright © TIMOKUCHAZ -Robotic Notes- Powered by Blogger - Designed by Johanes Djogan -