Posted by : Unknown Sunday 8 June 2014



Katika mwili wa mwanamke kunasehemu nyingi sana zinazoweza kumpa mshawasha na hamasa kubwa wakati wa tendo,achilia mbali sehemu nyingi zilizozoeleka na watu wengi 
kama vile kisimi, kuna sehemu moja ambayo ni bab kubwa kiasi cha kwamba mwanamke akishughulikiwa ipasavyo anaweza kukojoa mara mbili au zaidi kwa wakati mmoja Sehemu hiyo si nyingine bali ni G SPOT au kwa Kiswahili baadhi ya watu huita kipele G,
  sehemu hii iko ndani ya uke umbali wa kama nchi tatu hivi ukuta wa juu.Sehemu hii ikiguswa tu mwanamke huhisi msisimuko wa ajabu kutokana na ukweli kwamba sehemu hii inahisia nyingi kuliko kawaida pale inapoguswa. Sehemu hii ni vigumu kidogo kuguswa kisawasawa kwa kutumia uume,badala yake 
njia muafaka ni kutumia kidole cha kati pale ambapo mwanaume unatakiwa uingize kidole chako kwenye uke wa mpenzi wako umbali kama wanchi tatu hivi kisha uwe kama unakunja kidogo kidole kwa juu ili uweze kugusa ukuta wa juu. 
Punde tu ukigusa sehemu hii utamsikia mwanamke kama ana ruka kidogo kwa juu na hapo hapo utamwona akilegeza macho na lazima usikie akifanya assshhhhhhhhhhh kutokana na hisia za utamu wa aina yake anaoupata mtu huyu.

KAMA ULIKUA HUJAJIUNGA NASI
BONYEZA HAPA 

Welcome to My Blog

Popular Post

Blogger templates

About views Blogger

Mrembo wetu wa leo

KONA YA KIJANJA YA KUJIDA VIA SNAPS

Powered by Blogger.

MY HOT BROGGER TZ

Like My Facebook Page

FOLLOW ME ON TWITTER

Contact Form

Name

Email *

Message *

- Copyright © TIMOKUCHAZ -Robotic Notes- Powered by Blogger - Designed by Johanes Djogan -