June 24 Lionel Messi anakumbuka siku yake ya kuzaliwa, leo June 24 2016 anatimiza umri wa miaka 29, Lionel Messi ameweka rekodi nyingi katika soka ikiwemo ya kutwaa Ballon d’Or mara 5. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee mambo matano kuhusu Lionel Messi leo katika kumbukumbu yake ya kuzaliwa.
1- Mechi amecheza juml ya mechi 643.
2- Amefanikiwa kufunga jumla ya magoli 508.
3- Ametoa assist 213.
4- Ameshinda jumla ya mataji 28 katika soka.
5- Lionel Messi amefunga zaidi ya hat-trick 30 katika soka.
GOAL AND HIGHLIGHTS: MO BEJAIA VS YANGA JUNE 20 2016, FULL TIME 1-0
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...