Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Kilichoandikwa na mashabiki wa Ex wa Zari, Ivan baada ya kum-wish Tiffah
Sunday, 7 August 2016
Posted by Unknown

Zai
Mmoja kati ya watu ambao wamem-wish binti huyo ni Ex wa Zari, Ivan ambapo amemtakia binti huyo afya njema katika maisha yake. Lakini ujumbe huo umezua upya vuguvugu kwa mashabiki ambao bado wanaamini Tiffah ni mtoto wa Ivan licha ya Diamond kukanusha uvumi huo mara kadhaa.
“Big shoutout to this innocent beautiful soul. May you live to blow more candles to come Princess_tiffah,” aliandika Ivan katika ukurasa wake wa instagram huku akiwa ameweka picha ya binti huyo.
Baada ya kuandika ujumbe huo, mashabiki katika mitandao ya kijamii wamekuwa na maoni tofauti. Haya ni baadhi ya maoni ya mashabiki hao.
Mtoto karudi kwa baba jaman, Damu nzito nyie @ivandon ongera Ivan kwakupigania mpaka mwanao kaja atimaye mungu mkubwa jaman khaa.
Sweet_verosa
Hahaha yani nimecheka mpaka nimelia eti Mungu mkubwa tifa karudi kwa baba yake.
Didiz_buu
Nimempenda Bure uyu mzungu wa kiganda sijui kisauz…. Big up bro Ivan…. U gat a unique heart… Happy birthday baby teepher
Angellyamuya
Congratulation big Boss I salute you.
Aniveraaaaa
Ivan Don Kai u re a man,dis jst gt me crying a u re a nice man.God will perfect everything dat concerns u and gve h a better companion amen.
Nelyhassan
Sure she is beautiful innocent soul happy birthday girl @princess_tiffah
Cassandra_jolly
Happy birthday to her…..u r a gentleman Ivan
Johnson_willo
Now i realize how gentle ur.@ivandon conglatulation men.And happybornday to the one and only.@princess_tiffah.
Binti_wa_bagoka
My love @christinamboy aiseeee njoo umuone mume wa zari alivyo zungu ametishaaaa
Mimi Sifanyi Mapenzi, Hata Boyfriend Wangu Anajua Sipendi Kufanya Mapenzi – Gigy Money
Sunday, 8 May 2016
Posted by Unknown
Tag :
UDAKU

Akizungumza na Bongo5, Gigy amesema maisha aliyopitia yamemfanya awe ni mwanamke asiyependa kufanya mapenzi.
“Mimi nimepoteza ile ari ya kufanya mapenzi au kuwa na mpenzi mmoja au nijiachie na mwanaume kama mtu na mpenzi wake siwezi, sasa hivi natafuta maisha, pesa mbele,” alisema Gigy. “Kama yeye ana wivu na mimi, mimi sina wivu na mwanaume,”
Gigy amesema taarifa za kwenye mitandao ya kijamii kwamba anajiuza siyo za kweli, kwani yeye ana mwanaume ambaye anamuudumia kila kitu ingawa hawafanyi mapenzi.
“Nina mtu ambaye ananihudumia, ananipa mtaji ya biashara zangu. Pia hata kwenye muziki anawekeza pesa yake. Kwa hiyo waache wanifikie hivyo wanavyofikiria, mimi nafikiria navyojijua, mimi nipo tofauti sana na wanavyozungumza, ukijaribu kukaa na watu wangu wa karibu watakwambia,” alisema Gigy.
Video ya Snura ‘Chura’ haitopelekwa kwenye Tv Musikie Mwenyewe akiongea Video Ay Tv
Thursday, 28 April 2016
Posted by Unknown
Baada ya video ya msanii wa Bongofleva Snura kuzinduliwa na kuitoa rasmi video ya ngoma yake mpya ya Chura, headlines nyingi zimekuwa zikiandikwa mitandaoni kuhusiana na video hiyo, wapo wanaoisifia na wapo wanaopenda kuitazama kutokana kuvutiwa na style yake ya uchezaji, Ayo Tv ilimpata Snura katika exclusive interview.
“Kiukweli
video ya Chura nimeifanya maalum kwa ajili ya youtube na wala sina
mpango wa kuipeleka kwenye Tv yoyote Tanzania, licha ya kuwa nimetumiwa
taarifa kuwa Kenya imeshaanza kuchezwa, kwa wanaosema haina maadili mimi
sijaitengeneza kwa ajili ya Tv bali youtube kwa anaependa kuitazama
ataitazama na kwa mtu ambaye kwake haina maadili asiingie youtube
kuiangalia” >>> Snura
KAMA ULIKOSA KUONA UZINDUZI WA VIDEO YA SNURA ‘CHURA’ APRIL 24 2016 ITATAZAME VIDEO HII HAPA CHINI