Posted by : Unknown Tuesday 6 May 2014

 Snura, Jina lake halisi ni ‘Snura Mushi’



Masai Nyotambofu 'Gilliady Severine Kahema'

Queen Darleen, Jina lake halisi ni ‘Mwajuma Abdul Juma’.


Jux Vuiton, Jina lake halisi ni ‘Juma Mussa Mpolopoto.’


Shetta, Jina lake halisi ni ‘Nurdin Bilali’


Izzo bizness, Jina lake halisi ni ‘Emmanuel Simwinga’.

Shilole, Jina lake halisi ni ‘Zuwena Mohamed’.


Ommy Dimpoz , Jina lake halisi ni ‘Omary Faraji Nyembo’


Roma, Jina lake halisi ni ‘Ibrahim Mussa’.

Belle 9, Jina lake halisi ni ‘Abelnego Damian’.


Tumezoea kwa wasanii wengi wa Bongo fleva kwa kuwajua kwa majina yao ya kisanii, 

Wasanii wengi wamekuwa wanatumia kifupi cha majina yao halisi, ila mengine wengi wanakuwa wanatumia majina tofauti kabisa,

 wengi huamini kuwa wangekuwa wanatumia majina yao halisia, wasingeweza kuwa na utofauti wa ki-status hapa town 

kama ilivyo hivi sasa, hivyo kutengeneza majina wanayotumia kwenye sanaa ya muziki, na kupelekea mashabiki wengi wa wasanii hawa kutojua kabisa majina yao haya,.

hawa ni baadhi tu ya wasanii wa bongo

Welcome to My Blog

Popular Post

Blogger templates

About views Blogger

Mrembo wetu wa leo

KONA YA KIJANJA YA KUJIDA VIA SNAPS

Powered by Blogger.

MY HOT BROGGER TZ

Like My Facebook Page

FOLLOW ME ON TWITTER

Contact Form

Name

Email *

Message *

- Copyright © TIMOKUCHAZ -Robotic Notes- Powered by Blogger - Designed by Johanes Djogan -