Posted by : Unknown Friday 10 October 2014

Belle 9 ameachia wimbo wake mpya uliobeba jina la album anayoifanyia kazi kwa muda sasa "Vitamin Music" akiwa amemshirikisha Mwamba wa Kaskazini, Mweusi "Joe Makini"

 
 Si muda mrefu sana tangu msanii huyo anaewakilisha Morogoro aachie ngoma mpya "Wanitamani" na kuachia wimbo huu Belle 9 amesema ameamua kuachia wimbo huu kwasababu uko tofauti sana na zingine maana mashabiki wamekuwa wakimwambia kwanini hatoi ngoma kama sumu ya penzi na zingine zilizopita mwanzoni 

Welcome to My Blog

Popular Post

Blogger templates

About views Blogger

Mrembo wetu wa leo

KONA YA KIJANJA YA KUJIDA VIA SNAPS

Powered by Blogger.

MY HOT BROGGER TZ

Like My Facebook Page

FOLLOW ME ON TWITTER

Contact Form

Name

Email *

Message *

- Copyright © TIMOKUCHAZ -Robotic Notes- Powered by Blogger - Designed by Johanes Djogan -