Deogratius Nsokolo Aibiwa laptop, simu na baadhi ya vitu muhimu kwenye basi la Adventure Morogoro.
Thursday, 28 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
NEWS
Video ya Snura ‘Chura’ haitopelekwa kwenye Tv Musikie Mwenyewe akiongea Video Ay Tv
Posted by Unknown
Baada ya video ya msanii wa Bongofleva Snura kuzinduliwa na kuitoa rasmi video ya ngoma yake mpya ya Chura, headlines nyingi zimekuwa zikiandikwa mitandaoni kuhusiana na video hiyo, wapo wanaoisifia na wapo wanaopenda kuitazama kutokana kuvutiwa na style yake ya uchezaji, Ayo Tv ilimpata Snura katika exclusive interview.
“Kiukweli
video ya Chura nimeifanya maalum kwa ajili ya youtube na wala sina
mpango wa kuipeleka kwenye Tv yoyote Tanzania, licha ya kuwa nimetumiwa
taarifa kuwa Kenya imeshaanza kuchezwa, kwa wanaosema haina maadili mimi
sijaitengeneza kwa ajili ya Tv bali youtube kwa anaependa kuitazama
ataitazama na kwa mtu ambaye kwake haina maadili asiingie youtube
kuiangalia” >>> Snura
KAMA ULIKOSA KUONA UZINDUZI WA VIDEO YA SNURA ‘CHURA’ APRIL 24 2016 ITATAZAME VIDEO HII HAPA CHINI
Snura - Chura Dance | Tanzania women Twerking (Official Video)
Wednesday, 27 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
VIDEO
Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchumba wako/mchepuko wako/mke wako au hata
rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia
lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana
usiendelee kuchat nae maana kinachofuata hapo ni majanga tu.
KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''
Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.
KWA MFANO:
1. Ukimtumia sms ''Mambo mpenzi wangu?'' akikujibu ''mambo mabaya'', usimuulize kwanini mambo mabaya, ukimuuliza atakwambia kuwa ''sina hela dear''
2. Ukimtumia sms ''Maisha yanasemaje kipenzi changu'' akikujibu ''maisha magumu hubby wangu we acha tu'' usimuulize kwanini, ukimuuliza kwanini atakwambia ''nimefulia mwenzio kama nini sijui''
3. Ukimtumia sms ''Mbona kimya sana mchumba wangu, umenitupa kiasi hicho'' akikujibu ''sijakutupa wangu yaani mambo hata hayaendi'' usimuulize kwanini mambo hayaendi, ukimuuliza atakwambia kuwa ''yaani sina kitu mpenzi wangu, simu ilikuwa haina hata hela ya kubeep''
4. Au ukiona mwanamke anaanza kwa kukwambia nikwambie kitu? We mkatalie kiutani utani tu, mwambie usiniambie, hata akikomaa vipi akwambie mwambie sitaki uniambie huku unafanya kama utani lakini moyoni unakuwa upo serious.
Ni mara chache sana mwanamke akikwambia kuwa mambo mabaya, maisha magumu au mambo hayaendi huwa na matatizo mengine kama kuumwa, misiba.... n.k lakini THE REST ni wapigaji mizinga tu. Akikwambia maisha magumu mjibu ''pole wangu, mambo mengine vipi?''
Ukipewa majibu kama hayo, chagua moja, either usiendelee kuchat nae mpaka badae kidogo au mbadilishie maada ili kukwepa huo mzinga ambao unakuja mbele yako.
Lady Jaydee ametoa maana ya wimbo wake ‘Ndindindi’ ambalo lilikuwa
ni fumbo lililokuwa linawapa majibu mengi yasiyokuwa na uhakika
mashabiki wake.
Wimbo wa ‘Ndindindi’ unazidi kufanya Vizuri kwenye medi mbalimbali na kumrudisha vizuri Jide aka Binti Komando kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila ya kuachia wimbo wowote.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Lady Jaydee alisema, “The Ndi mimi ni kitu tori wewe si kitu” lakini pia aliongezea “ili kuleta fleva ya muziki ndiyo nikaiita Ndindindi. Mimi ni kitu na wewe si chochote.”
Wimbo wa ‘Ndindindi’ unazidi kufanya Vizuri kwenye medi mbalimbali na kumrudisha vizuri Jide aka Binti Komando kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila ya kuachia wimbo wowote.
Akiongea kwenye kipindi cha FNL, kinachoruka kupitia EATV, Lady Jaydee alisema, “The Ndi mimi ni kitu tori wewe si kitu” lakini pia aliongezea “ili kuleta fleva ya muziki ndiyo nikaiita Ndindindi. Mimi ni kitu na wewe si chochote.”
RC Makonda katangaza kuwaondoa Wakurugenzi..(+Video)
Sunday, 17 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
NEWS
April 17 2016 Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda
alikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia baadhi ya changamoto
zinazoendelea katika jiji lake ikiwa ni pamoja na vitendo vya matumizi
mabaya ya fedha yanayofanywa na baadhi ya viongozi, Makonda
anasema>>
‘Kwenye
mkoa wetu wa Dar es salaam tuna mambo ambayo yamekuwa yakiendelea
ambayo yamekuwa yakikiuka sheria, kanuni na taratibu, moja ya vitu
vilivyobainika katika stendi ya ubungo imebainika kwamba Meneja anatumia
sharia ya mwaka 2004 kulipa mapato, wakati sharia inayotambulika kwa
sasa ni sharia ya mwaka 2009’
‘Mkataba
wa mwaka 2009 kwa mwezi tunapaswa kukusanya si chini ya mil 84, wakati
wa mwaka 2004 tunakusanya mil 42 kwa mwezi, manaake tunapoteza mil 42
kwa mwezi’
‘Hapa
inamaana kwa mwaka ni zaidi ya Milioni 500 zinapotea, na ukiangalia
kuanzia mwaka 2009 tumepoteza jumla ya Bil 3, ajabu waliosaini mkataba
wa tarehe 30/01/2015 ndio walewale waliosaini tarehe 31/01/2015’
Lakini pia ishu ya maegesho ya magari haijampita Makonda, na anasema ‘Upande
wa maegesho ya jiji inaonekana mzabuni tenda yake ilikwisha muda wake,
chaajabu haikutangazwa tenda bali akaandikiwa barua ya kuongezewa muda,
jambo ambalo halipo kisheria’
‘Sasa hapa inaonekana kuna uhusiano mazuri sana kati ya wanaokusanya pesa na wale wanaopokea, na watu hao ni viongozi’
Vipi kuhusu ishu ya bodaboda? Makonda anasema ‘Faini
ya makosa ya pikipiki ni shilingi elfu 20, lakini Tambaza anawatoza
watu elfu 80, imefika hatua wanakatazwa kumkamata mtu bila kujieleza,
lakini kinachofanyika ni kinyume na taratibu’
‘Hawa
Wakurugenzi ambao ambao badala ya kutusaidia sasa wameamua
kutuangamiza, nimeiomba mamlaka husika ya nidhamu ichukue hatua stahiki,
mimi kwenye mkoa wangu siwahitaji kuendelea kuwanyonya wana Dar es
salaam’
Habari njema, Tena Msimu mzuri kweli. Roma Mkatoliki kafunga ndoa Jana nyumbani kwao Tanga
Sunday, 10 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
MAPENZI
February 2016 kwenye send-off Roma Mkatoliki akisindikizwa na mshkaji wake Kala Jeremih. Hip Hop Tz

Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo imesema inataka kuangazia kustawisha “huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi.”
WhatsApp, itaacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu kufikia Desemba 2016. Licha ya kuacha kutumika katika simu nyingi za Blackberry, WhatsApp bado itaendelea kutumiwa katika simu za kisasa zaidi za Blackberry kwa sababu simu hizo hutumia mfumo wa Android.
Kampuni hiyo imejitetea na kusema kwamba haijawatupa wateja wake ambao wamechangia sana katika ufanisi wake lakini ni kutokana na mabadiliko ya teknolojia.
“Simu hizi hazina uwezo wa kiteknolojia tunaohitaji kuendelea kuimarisha huduma yetu siku zijazo,” kampuni hiyo imesema.
Orodha kamili ya mifumo ya simu ambayo wateja hawataweza tena kutumia WhatsApp ni hii hapa:
Android 2.1 and Android 2.2
Android 2.1 and Android 2.2
Blackberry OS 7 and earlier
Blackberry 10
Nokia S40
Nokia Symbian S60
Windows Phone 7.1
Blackberry 10
Nokia S40
Nokia Symbian S60
Windows Phone 7.1
Kampuni hiyo imesema wakati wa kuanzishwa kwa WhatsApp mwaka 2009, asilimia 70 ya simu wakati huo zilikuwa za BlackBerry na Nokia.”
Lakini sasa asilimia 99.5 ya simu zinatumia mifumo ya Google, Apple na Microsoft.
Source: BBC
Rais Magufuli kusafiri nje ya nchi kwa mara ya kwanza kesho, anaondoka na gari sio ndege
Tuesday, 5 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
NEWS
Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli, April 5 2016 jina lake limerudi kwenye headlines kwa mara nyingine tena. Rais Magufuli amerudi kwenye headlines baada ya kukubali mwaliko wa Rais Paul Kagame wa Rwanda, hivyo atafanya ziara ya siku mbili Jumatano na Alhamisi.
Stori kutoka wizara ya mambo ya nje zinaeleza kuwa Rais Magufuli pamoja na Rais Kagame watafungua daraja la kimataifa la Rusumo linaounganisha mpaka wa Tanzania na Rwanda na kuzindua ushirikiano wa huduma za kituo cha pamoja.Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na vyombo vya habari na kusomwa katika television za Tanzania Rais Magufuli atasafiri kwa gari.
Kutoka kushoto ni Rais Magufuli na Rais Paul Kagame wa Rwanda
Van Jack Shabiki wa kweli wa Arsenal Kwa kuwa anaipenda sana timu Hiyo Snaps imeamua kumpa offer ya Picha hii
Monday, 4 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
UDAKU
Umuhimu wa kuvaa Shanga kiunoni Hebu jifunze kitu kwa kutazama hii Video hapa >>>>>>>>>>>
Posted by Unknown
Tag :
VIDEO
Video mpya: Mh. Temba anayofuraha kukuonyesha video yake mpya, ndani kacheza na mrembo Nelly Kamwelu
Saturday, 2 April 2016
Posted by Unknown
Tag :
VIDEO
Videos
Usichukue muda kujiuliza mara yako ya mwisho kutazama video mpya ya Mh. Temba ilikua lini? right now yuko kwenye spika zetu na hii single inaitwa ‘fundi’ na ukishatazama usisahau kuniachia comment yako hapo chini ili Temba akipita hapa ajue mashabiki wake wameipokeaje.
EWURA Yashusha bei za Umeme kwa watumiaji wa Viwango tofauti Kuanzia Leo.....Service Charge Yafutwa Rasmi
Posted by Unknown
Tag :
NEWS

Mamlaka ya Usimamizi wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushusha bei za umeme kuanzia leo kwa watumiaji wote wa viwango tofauti.
Kushuka huko kwa bei ya umeme ni kutokana na ombi la Shirika la Umeme Tanzania TANESCO kutaka bei za umeme zipunguzwe sambamba na hilo gharama za huduma kwa baadhi ya wateja zimeondolewa.
Bei mpya kwa watumiaji wadogo ni sh.100 kwa uniti, watumiaji wa kati ni sh.292 toka 298 ya zamani.Wafanyabiashara wadogo ni sh. 195 toka sh. 200 ya hapo awali.
Bei mpya kwa wafanyabiashara wa kati ni sh.157 toka sh. 159. Wanaonunua kwa wingi (bulk) ni sh. 152 toka sh. 156 ya hapo awali
Machangudoa Wafunguka 'Alishindwa Makamba Kutuondoa Mjini Sembuse Makonda'
Thursday, 24 March 2016
Posted by Unknown
Tag :
UDAKU
Hivi karibuni, Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Simon Sirro alitangaza oparesheni maalum ya kuwasaka madada poa hao, sambamba na wateja wao akidai wanakiuka sheria na maadili ya Mtanzania jambo ambalo liliungwa mkono na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.
Mara baada ya agizo hilo la serikali kutolewa, wanahabari wetu walifanya uchunguzi katika maeneo ambayo yamezoeleka kwa biashara hiyo na kukuta baadhi yao wakiendelea kama kawaida kana kwamba hakuna agizo lolote lilitolewa.
Risasi lilipita maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar na kuwakuta akina dada hao wakiendelea na biashara hiyo kwa kujipanga barabarani kuelekea baa maarufu ya Meeda ambapo wanahabari wetu waliojifanya wateja walipowauliza kulikoni hawaogopi nguvu ya dola, walisema wao wameshindikana tangu enzi za Makamba, Kandoro na Said Meck Sadick (aliyepita) hivyo hata huyu wa sasa, Makonda hatawaweza.
Wewe hii ni nguvu ya soda. Hatuwezi kuacha unafikiri tutakula wapi? Hii kazi tumeanza kitambo, tangu enzi za Makamba aliyekuwa hatari kweli kukemea biashara hii lakini tulimshinda. Akaja Sadick naye tukamgaragaza sembuse huyu Makonda aliyepewa jiji hili juzi tu?” alisema dada poa mmoja aliyekataa kutaja jina lake.
Maeneo mengine ya Jiji la Dar ambayo Risasi lilibaini kuwa biashara hiyo bado inaendelea kama kawaida ni pamoja na Sinza-Afrikasana (maarufu kama Conner Bar), Buguruni (Kimboka Bar, Rozana), Temeke na Kinondoni-Makaburini.
Alipotafutwa Makonda kuhusiana na suala hilo alisema atalizungumza kwa kirefu baada ya Sikukuu ya Pasaka lakini mwanahabari wetu alipombana zaidi ili aweze kutoa ufafanuzi kwa kuwa madada poa hao wamekaidi agizo la serikali, aliahidi kulizungumzia siku iliyofuata (Machi 21) lakini hata hivyo siku hiyo alipopigiwa simu hakupokea.
Hata mwandishi wetu alipomtumia ujumbe mfupi wa maandishi kumsisitiza azungumzie suala hilo, Makonda hakujibu chochote.
Aidha, mwandishi wetu pia alimtafuta Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro ili aweze kuzungumzia suala hilo, aliomba atafutwe baadaye kwa kuwa alikuwa kwenye kikao. Baadaye simu yake haikupatikana hewani.
GPL
Kilichomchekesha Rais Magufuli Ikulu Japo alivaa Sura ya Kazi Hebu tazama hii Video
Posted by Unknown
Tag :
SIASA
Rais John Pombe Magufuli aliwateua wakuu wapya wa mikoa Tanzania bara March 13 2016 ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, watano wamehamishwa vituo vya kazi na mmoja amepangiwa Mkoa mpya wa Songwe sasa wakati wa kuwaapisha kuna mmoja wa viongozi aliteleza kufata kanuni za viapo, tazama kwenye hii video hapa chini.
Samatta Aitungua Chad Na kuonyesha kweli yeye ni wa kimataifa na kuweka rekodi ya Tanzania kwa Taifa la Chad
Posted by Unknown
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars March 23 imeshuka katika dimba la Idriss Mahamat kucheza na wenyeji wao timu ya taifa ya Chad katika muendelezo wa michezo ya makundi ya kuwania kufuzu michuano ya mataifa ya Afrika (AFCON) itakayochezwa mwaka 2017.
Huu ulikuwa ndio mchezo wa kwanza wa Mbwana Samatta akiichezea Taifa Stars kama nahodha wa timu hiyo, katika mchezo huo uliochezwa Chad, Taifa Stars imeibuka na ushindi wa goli 1-0, goli la Taifa Stars lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 30, baada ya kutumia vyema krosi ya Farid Musa.
Samatta amefanikiwa kuitunzia Tanzania rekodi dhidi ya Chad, kwani mara ya mwisho Taifa Stars alikutana na Chad, ugenini na kufanikiwa kuibuka kwa ushindi wa goli 2-1. Magoli ya Taifa Stars wakati huo yalifungwa na Mrisho Ngassa dakika ya 11 na Nurdin Bakari dakika ya 88, huku goli la Chad la kufutia machozi lilifungwa na Mahamat Labbo dakika ya 12.
Msimamo wa Kundi G ulivyo hadi sasa
Taifa Stars itarudiana na Chad Jumatatu ya March 28 uwanja wa Taifa Dar Es Salaam, huku ikiwa imebakiza mechi mbili dhidi ya Nigeria ugenini na timu ya taifa ya Misri utakaochezwa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.










